Mikopo yote ya FOSA itatolewa kwa wanachama ambao mishahara yao inapitia kwenye akaunti zao za FOSA, isipokua mkopo wa Ujasiriamali. Mwanachama atawajibika kuhakikisha mshahara wake unapita katika akaunti yake ya FOSA. Mikopo hiyo ni kama ifuatavyo:

  •  Mkopo wa Boresha Maisha
  • Mkopo wa Chipukizi
  • Mkopo wa Usafiri
  • Mkopo wa Wekeza
  • Mkopo wa Wekeza
  • Mkopo wa Vifaa vya nyumbani na Kieletroniki
  • Mkopo wa bima ya Gari
  • Mkopo wa Likizo
  • Mkopo wa Somesha
  • Mkopo wa Matibabu
  • Mkopo wa Ujasiriamali