• Mwanachama anaweza kukopa kiwango kisichozidi Tshs. 10,000,000
  • Riba ya mkopo huu itakuwa asilimia 1.375 kwa mwezi kiasi cha mkopo
  • Muda wa juu wa marejesho ya mkopo ni miezi ishirini na nne (24)
  • Marejesho yataanza kufanyika miezi mitatu baada ya mkopo kutolewa (grace period)
  • Mwanachama atatakiwa kuwasilisha: Mpango wa biashara (lazima), leseni ya biashara, usajili wa biashara