• Mkopo huu utatolewa kwa wanachama kwa kisichozidi Tshs. 4,000,000/=.
  • Mkopo wa dharura hautatolewa kwa mwanachama ambae atakuwa bado hajamaliza mkopo wa awali.
  • Riba kwa mikopo ya dharura itakuwa asilimia 2 kwa mwezi kwa baki ya mkopo.