- Mkopo huu utatolewa kwa wanachama kwa kisichozidi Tshs. 4,000,000/=.
- Mkopo wa dharura hautatolewa kwa mwanachama ambae atakuwa bado hajamaliza mkopo wa awali.
- Riba kwa mikopo ya dharura itakuwa asilimia 2 kwa mwezi kwa baki ya mkopo.


UBUNGO BUSINESS PARK
MOROGORO ROAD OPPOSITE TO SHEKILANGO ROAD
P.O.BOX 54231, Dar es Salaam.