• Mwanachama ana uhuru wa kukopa kiwango ambacho hakizidi mara nne (4) ya akiba.
  • Mwanachama ataruhusiwa kukopa tena iwapo atakuwa amemaliza mkopo wa awali, au
    amerejesha moja ya tatu (1/3) la deni la awali.
  • Kiwango cha juu cha mkopo kitategemea uwezo wa mshahara wa mwanachama husika.
  • Riba kwa mkopo wa maendeleo ni asilimia 1.0 kwa mwezi kwa baki ya mkopo
  • Muda wa juu wa marejesho ya mkopo ni miezi sitini (60)