• Utatolewa kwa kiwango cha kuanzia Tshs. 50,000/= hadi Tshs. 500,000/= na unatolewa kila siku.
  • Makato ya marejesho ya mkopo huu yatafanyika mwezi unaofuata kwa mkupuo mmoja.
  • Riba ya mkopo wa papo kwa hapo ni asilimia 08