Chama kinawatangazia Wanachama wote kuwa, kinatarajia kuanza kufanya Mikutano ya Mrejesho wa Mkutano Mkuu wa mwaka 2023 katika matawi yake nchi nzima kuanzia tarehe 16.03.2024 ili kuwajulisha juu ya maamuzi yaliyofikiwa na kuwapatia taarifa mbalimbali…